Jumuiya ya kimataifa imeitaka Rwanda kuondoa wanajeshi wake nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na kusitisha uungaaji wake mkono kwa waasi wa M23 wanaosema kwamba wanalenga kusonga mbele hadi mji m ...
Rais wa Jamhuri, Félix-Antoine Tshisekedi, amezungumza jioni ya Alhamisi, Januari 30, na wabunge wa kitaifa na maseneta kutoka Kivu Kaskazini na Kusini kuhusu hali ya usalama inayotia wasiwasi ...