Januari 15, 2019, aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, hayati John Magufuli alitoa agizo kwa aliyekuwa Waziri wa Maliasili na ...
ABIRIA na watumiaji wa vyombo vya moto katika eneo la kivuko cha Kigongo-Busisi, mkoani Mwanza wamelazimika kuvunja geti na kupita daraja la dharura linakojengwa daraja kubwa la J.P Magufuli baada ya ...
WAZIRI wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema Daraja la John Pombe Magufuli  (Kigongo-Busisi) linalounganisha mkoa wa Mwanza na ...
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) siku ya Jumapili, Januari 19, kwa kauli moja wamemteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa ...
Hii leo, baadhi ya wajumbe waliokuwa wakitoa michango yao juu ya utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM walipendekeza ...
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ametaja kazi mbili alizo nazo kuwa ni kushinda ...
Magufuli aombwe radhi? Ni kipindi ambacho, ukimsikiliza Lissu dhidi ya Mbowe, utatamani kumwomba msamaha Rais wa Tano wa Tanzania, Dk John Magufuli. Kumbe alisingiziwa kudhulumu uchaguzi Serikali za ...
Kituo Kikuu cha Treni ya Umeme SGR Dar es Salaam Ujenzi wa SGR ulianza mwaka 2017 kwa kipande cha kilometa 300 kinachoanzia Dar es Salaam kwenda Morogoro ambacho kilizinduliwa na Rais wa Awamu ya Tano ...
Kikao hicho kiliongozwa na Volkan Bozkir Rais wa baraza kuu la UN kilikuwa na ajenda kadhaa ikiwemo ya kutambua mchango wa Magufuli aliyefariki dunia kwa ugonjwa wa moyo Machi 17, 2021.