Kiongozi wa kisiasa wa kundi la waasi la M23 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Corneille Nangaa, amesema kamwe ...
Jumuiya ya kimataifa imeitaka Rwanda kuondoa wanajeshi wake nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na kusitisha uungaaji wake mkono kwa waasi wa M23 wanaosema kwamba wanalenga kusonga mbele hadi mji m ...
Tarehe 24 January 2025 Rais Tshisekedi alikatiza ziara yake mjini Davos baada ya mapigano makali kuzuka nchini mwake.
Kiongozi wa Muungano wa Mto Kongo (AFC), Corneille Nangaa, amesema kuwa kundi hilo halipiganii madini wala rasilimali yoyote ...
Mkutano wa kilele usio wa kawaida wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) umefanyika siku ya Ijumaa, Januari 31, mjini Harare, Zimbabwe. Rais wa Kongo Félix Tshisekedi, al ...
Igihe yicirwa muri Congo mu mwaka uheze, umucangero Vasile Badea yari yasavye akanya ko guhagarika akazi kiwe k'igipolisi ...
Rais wa Jamhuri, Félix-Antoine Tshisekedi, amezungumza jioni ya Alhamisi, Januari 30, na wabunge wa kitaifa na maseneta kutoka Kivu Kaskazini na Kusini kuhusu hali ya usalama inayotia wasiwasi ...
Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) leo, Januari 31, 2024, inakutana mjini Harare, Zimbabwe, katika mkutano wa dharura kujadili namna ya kukabiliana na mzozo unaoendelea Mashariki mwa Jam ...